KTN VIDEO: Uchawi

Washukiwa wa uchawi wamekuwa wakiuawa kila kukicha maeneo mbalimbali humu nchini hususan Kilifi na Kisii, E neo la kilifi hali hiyo imeweka maisha ya wazee wengi hatarini.ni hali hiyo ambayo imepelekea kubuniwa kwa kambi maalum kule Ganze kaunti ya Kilifi kunusuru maisha ya washukiwa hao.katika kambi hiyo wanafanyiwa tambiko za kitamaduni kutambua ukweli au uwongo wa madai kisha mengi hufuata. Kwa mengi kuhusu kambi yenyewe John Juma alizuru kambi hiyo kwa jina Kaya Godoma anasimulia zaidi katika sehemu ya kwanza ya makala inayouliza je ni nusuru ya wachawi
FOLLOW US