KTN VIDEO: Kitoweo cha punda

Wakaazi wa naivasha kwa mara nyengine wamepigwa na butwaa baada ya kugundua mizoga ya punda,na sasa wakaazi hao wameeapa kuandamana iwapo serikali haitoshughulikia utovu huu wa nidhamu ambao una hatarisha maisha ya wakaazi wa eneo hilo
FOLLOW US