KTN VIDEO: Kitoweo cha punda
Wakaazi wa naivasha kwa mara nyengine wamepigwa na butwaa baada ya kugundua mizoga ya punda,na sasa wakaazi hao wameeapa kuandamana iwapo serikali haitoshughulikia utovu huu wa nidhamu ambao una hatarisha maisha ya wakaazi wa eneo hilo
